Mkuu wa Polisi wa Los Angeles alidai kuwa mtu huyo aliwaeleza kuwa alikuwa ameegesha gari nje ya nyumba ya Malibu, Calif. ndipo Dre akamtaka aondoke na kumwonesha bunduki.
Dre, ambaye jina lake halisi ni Andre Young, aliwaeleza polisi kuwa hakuwa na bunduki na kwamba mtu huyo alikuwa ameziba njia. Amedai kuwa mtu huyo aliondoka baada ya Dre kumchukua video.
Dre alipigwa pingu kwa muda wakati akihojiwa. Hakuna silaha iliyopatikana kwenye eneo la tukio.
0 Comments