Nephills (wanefil walikua ni watu wa aina gani)

Wanefili ni nani? wanefili maana yake ni majitu makubwa, hawa majitu kama Goliathi, Ahimani, sheshai, Talmai, Safu, Lahmi nk walijulikana katika agano la kale.

Hawa walikuwa ni wanadamu waliozaliwa kutokana na mahusiano ya kimapenzi kati ya wana wa Mungu na binadamu, wana wa mungu hawa walikuwa ni malaika walioanguka(mapepo) ambao walioa wanawake binadamu waliwapata kwa nguvu za giza za mapepo hayo uhusiano huu ulisababisha kuzaliwa watoto Wanefili (MAJITU MAKUBWA) mwanzo 6:4.

Wanefili walikuwa kizazi kikubwa sana cha mashujaa maarufu ambao walifanya vitendo vya uovu mkubwa sana. Ukubwa na nguvu zao ulitokana na mchanganyiko wa chembe za damu ya mapepo na binadamu.

Hata hivyo kizazi hichi kiliangamizwa na gharika wakati wa NABII NUHU
ila baadae walionekana tena

Post a Comment

0 Comments