MSIBA Dogo Mfaume wa ‘kazi ya dukani’ amefariki

Kama sikio lako huzitegea sana nyimbo za bongofleva basi na ‘kazi ya dukani’ inaweza kuwa moja ya zile unazozijua…. na ni ngoma ambayo ilifanywa na Msanii aitwae Dogo Mfaume ambaye leo tumepokea taarifa za kifo chake kutoka Muhimbili Hospital.



Post a Comment

0 Comments