Nicki Minaj athibitisha kulala nyumbani kwa Nas ila hawaja jigi jigiiiiiii

Rapa Nicki Minaj amedhibitisha kulala nyumbani kwa hiphop staa Nas ila hawakufanya ngono…
Kwenye kipindi cha Ellen, Nicki Minaj amesema “Nas ni mtu powaa, ni mfalme wa Queens New York, mimi natokea Queens New York, ningependa pia kujiona malkia wa Queens New York, nina heshima nyingi kwake  na anavutia pia“.
Ellen akauliza, umelala kwake ? na Minaj akajibu Ndio , nimeenda kwake, niliona yeye kuja kwangu ni mapema sana, ila hatukufanya kile kitu
Minaj pia amesema alitaka kuwa SINGLE kwa mwaka mmoja sababu anachukia wanaume kwa sasa ila labda Nas anaweza badilisha mawazo yake…
Its Official Nicki Minaj sio SINGLE Tena

Post a Comment

0 Comments