Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, DK Abdallah Possy aitaka timu ya Simba kutotumia kigezo cha Ugonjwa wa Korona kutaka ubingwa


Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, DK Abdallah Possy... aitaka timu ya Simba kutotumia kigezo cha Ugonjwa wa Korona kutaka ubingwa, na hivyo kuwataka waache uoga ili wamalizie ligi

Post a Comment

0 Comments